Saturday, July 31, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

Sisi sio timu ya mtu mmoja

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney, ambaye mpaka sasa ndiye anayeongoza kwa upachikaji magoli kwenye ligi kuu ya Uingereza jana usiku alisisitizakuwa "sisi sio imu ya mtu mmoja"

Rooney alifikisha magoli 21 juzi siku ya jumatano baada ya kufunga goli la ushindi na kuipeleka timu yake kwenye fainali za carling cup ambayo itakutana na Aston Villa kwenye dimba la Wembley.

Bila kujali upachikaji wake wa mabao kwa msimu huu na juhudi anazozionesha akiwa uwanjani alisisitiza kwa kusema "msituangalie sisi kama kama timu ya mtu mmoja, au muione kama mzigo kwangu, hiyo haileti maana. Kama sitapata ushirikiano kutoka kwa wenzagu na kama hawata nipatia huduma nzuri basi nisngeweza kufunga magoli, wote tumechangia kupata magoli hayo, na timu ndio inayoshinda sio mtu binafsi" alimalizia kwa kusema Rooney.

 

 

Comments
Add New Search
Write comment
Name:
Email:
 
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

Login Form