Obama na Cameron wakutana
Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron amekanusha kwamba jitihada za ushawishi zilizofanywa na kampuni ya mafuta ya BP zilichangia uamuzi wa kuachiwa huru mripuaji wa ndege ya Pan Am katika eneo la Lockerbie, Scottland mwaka 1988, Abdel Baset al
-Megrahi. Shambulio hilo lililofanywa na raia wa Libya liliwaua watu 279.
Bwana Cameron alikuwa akizungumza wakati wa mkutano wake na Rais Barack Obama wa Marekani mjini Washington. Viongozi hao wawili walilaani kuachiwa kwa al-Megrahi mwaka uliopita.
Hata hivyo, Cameron amekataa wito wa kufanyika uchunguzi na badala yake amewaagiza wasaidizi wake kubaini iwapo taarifa zozote mpya kuhusu uamuzi huo zinatakiwa kutangazwa hadharani. Tatizo la kuvuja mafuta ya kampuni ya BP katika Ghuba ya Mexico, pia lilijadiliwa.
Waziri huyo mkuu wa Uingereza alisema anaelewa hasira iliyonayo Marekani kuhusu kuvuja mafuta hayo, lakini akaongeza kuwa kitendo cha kampuni ya BP kubakia imara na thabiti kina maslahi kwa nchi zote mbili.
| Comments |
|
3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."
Habari Motomoto
-
Mahakama: Chenge ana kesi ya kujibu Mahakama ya wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam imesema mgombea...
-
Vyama 15 vyasaini rasimu ya mwongozo wa maadili Z`bar Viongozi wa vyama 15 vya siasa jana walisaini rasimu ya mwongozo...
-
Mrufani aongezewa adhabu ya viboko Mahakama ya rufaa Tanzania imemuongea adhabu Mathias Mhagama, aliyepinga...
-
Tanesco yalalamikia vituo bandia vya Luku Shirika la Umeme nchini (Tanesco) limesema kuna ongezeko la vituo...
-
Chadema: Hatutaki siasa za maji taka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakina muda...
-
CCM na Chadema Moshi jino kwa jino Mkutano kati ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Lucas Ng’hoboko...
-
Tendwa aiduwaza Chadema Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa, ametupilia mbali pingamizi...
-
Chagueni viongozi pasipo kuangalia vyama-Mdee Mgombea ubunge wa jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
-
Wanawake wanaougua akili wananyanyasika Wanawake wanaougua ugonjwa wa akili, wananyanyasika kutokana na...
-
Slaa, Dk Bilal uso kwa uso Mwanza Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
-
Mtihani darasa la saba wafanyika kwa utulivu Mtihani wa darasa la saba ulioanza jana kote nchini, ulifanyika katika...
-
Vurugu zaibuka Moshi, Iringa Watu watano wamekamatwa na Polisi mkoani hapa, wakihusishwa na vurugu...
-
Takukuru yapigwa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), imezidi kubanwa...
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 6
- 7
- 8
- 9
- 10
- 11
- 12
- 13
- 14
- 15
- 16
- 17
- 18
- 19
- 20
Zilizosomwa Sana
- Schorlaships
- MAJINA YA WANAFUNZI 33658 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA UFUNDI NA CHUO CHA MAJI MWAKA 2010
- United States
- CHAKULA CHA USIKU: WAHANGA SASA NI WANAWAKE! - Mwambie, usione haya
- Dawa za Kuongeza Ufanisi wa Mwanaume Kitandani Zazinduliwa
- AFYA! AFYA! Mambo yote muhimu haya hapa
- Europe
- ***BREAKING NEWS: Watuhumiwa wote kesi ya ZOMBE waachiliwa huru!!!***
- Advertisement Plan
- Australia
- Aliyefumwa akibaka bintiye ala kichapo
- Man Utd ushindi sasa basi
- Ratiba ya Ligi Kuu Uingereza 2010/2011
- Chanjo ya HIV yapunguza maambukizi
- Wanafunzi walioteketea kuzikwa kaburi moja leo
- Japan

