Saturday, September 04, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

Mwandishi habari wa Ugiriki auawa

Mwandishi habari wa Ugiriki, Sokratis Giolias ameuawa kwa kupigwa risasi nje ya nyumba yake. Giolias alifariki baada ya kupigwa risasi zaidi ya mara 15 akiwa katika ngazi za mlango wa nyumba yake.

Polisi wamesema kuwa magaidi wanahusika

na mauaji hayo. Kwa mujibu wa polisi  kundi lenye itikadi kali za mrengo wa mbali linahusishwa na mauaji hayo, ingawa uchunguzi kuhusu mauaji hayo unaendelea.

 

Giolias alikuwa mkuu wa kitengo cha habari katika kituo cha redio cha Athens na hapo kabla aliwahi kufanya vipindi vya televisheni kuhusu habari za uchunguzi. Hicho ni kifo cha kwanza kutokea kwa mwandishi habari nchini Ugiriki kwa zaidi ya miaka 20.

Comments
Add New Search
Write comment
Name:
Email:
 
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

Habari Motomoto

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20

Login Form