Saturday, July 31, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

Man Utd ushindi sasa basi

Nicolas Anelka amesem Manchester Inited imejiondolea ushindi kwa kuruhusu Cristiano Ronaldo na Carlos Terves kuondoka kwenye klabu hiyo.

Na mshambuliaji huyo wa chelsea amemuonya kocha wa Manchester United bwana Alex Ferguson na kikosi chake kwamba yeye na mashambuliaji mwenzie Didier Drogba wanakuja kuwafunika.

Nyota huyo wa Chelsea raia wa Ufaransa ameseama "Sidhani kama Manchester Utd watakuwa wakali kama walivyokuwa msimu uliopita kwa sababu Ronaldo na Terves hawapo. Hilo linaweza kusababisha sisi tukawa imara kuliko wao msimu ujao. Utd imepoteza wachezaji wawili wakubwa na hilo linaipa time yoyote kushinda tukiwemo sisi"

Comments
Add New Search
CRISS  - UTD 4REVER   |41.221.43.xxx |2009-07-28 05:18:16
Man utd sio timu ya mchezaji mmoja,wamewahi kuondoka nyota kibao lakini bado
timu inafanya makubwa,maneno anayoongea Anelka yalisemwa sana wakati wanaondoka
mark hughes,cantona,beckham,konchelski na wenginao wengi tu.man uuuuuuuuu
Denis Luchagula  - TUSIANDIKIE MATE WKT WINO UPO   |196.45.33.xxx |2009-07-29 00:27:19
Haya bwana cc tunasubiri mambo yaanze tutaona nani kidume huko uk.Man Utd na
hisi inaweza bado ikawa tishio.
DAUDY KAHUNGO  - ASIJE BADILI KAULI   |92.48.181.xxx |2009-08-01 03:30:41
NICO UNAKUWA KAMA HUIJUI MAN UNITED
WALIPOONDOKA AKINA STAM ANDY COLE NA
MWENZAKE MLILAANI SANA TIMU YETU LAKINI HAIKUWA RIZIKI MAN IKAVUMA AKAONDOKA
BECKHAM RUD VAN NESTROOY,SAHA,PIA MKAIOMBEA DUA MBAYA MAN LAKINI MKALAMBA RELI
KAENI HIVYO HIIVYO KUMBE HATA MASTAA NAO WANAICHUKIA MANUNITED?
Bakari Ramadhan  - acheni kuchonga   |196.43.78.xxx |2010-05-28 01:40:36
ANELKA NAWE KTK WACHEZAJI UMO?WEMWEWE GARASATU HUNALOLOTE NI KHERI ANGESEMA HATA
DROGBA MARA MIA KULIKO WW.KWAMTAZAMO WANGU NAKUONA UNAZUNGUSHATU JEZI NA UPARA
WAKO UWANJANI,AU UNATAKAKUJIZOLEA UMAARUFU KUPITIA MAN U?SEMA BWANA ACHA
DISIZAKIZEMBE.
Write comment
Name:
Email:
 
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

Habari Motomoto

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20

Login Form