Tanroads yaanzisha mchakato wa mradi wa mabasi ya kasi
Hatimaye Wakala wa Barabara nchini (Tanroads), umetangaza nia ya kutekeleza mradi wa magari ya mwendo kasi kwa kutangaza tenda kwa ajili ya kumpata mkandarasi atakayejenga barabara zitakazotumiwa na magari hayo.
Tangazo la tenda ya mradi huo lililotolewa jana na Tanroads lilieleza kuwa awamu ya kwanza ya ujenzi itahusisha upanuzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Magomeni.
Lilieleza kuwa kipande hicho chenye urefu wa kilometa 10.9 kitahusisha ujenzi wa vituo 15 vikubwa vya magari, vituo viwili vya magari na madaraja mawili ya waenda kwa miguu.
Tangazo la tenda hiyo lilifafanua kuwa utekelezaji wa mradi huo utahusisha pia ujenzi wa vipande vya barabara kutoka Magomeni hadi Kivukoni, Magomeni hadi Morocco na Fire hadi Kariakoo.
Tanroads katika tangazo lake hilo imeeleza kuwa barabara hizo zitahusisha ujenzi wa vituo 14 vya magari, kituo kimoja cha magari hayo, daraja la waenda kwa miguu na kwamba mkandarasi atatakiwa kuzingatia miundombinu ya maji na huduma za mawasiliano.
Kwa mujibu wa tangazo hilo, kazi hiyo itatekelezwa kwa miezi 24 baada tu ya mshindi kutangazwa.
Mradi wa magari ya mwendokasi unatazamiwa kuwa utasaidia kupunguza foleni jijini Dar es Salaam na kumaliza adha ya usafiri kwa wakazi wa Jiji.
| Comments |
|
3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."
Habari Motomoto
-
Wahariri kujadili jinsi ya kuwasaidia wapiga kura wakati wa kampeni Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini watakutana jijini...
-
Slaa apata mapokezi makubwa Musoma, Mwanza Maelfu ya wananchi, wakiwamo watumishi wa serikali, wafanyabiashara...
-
Jaji Mkuu: Hatukushinikizwa hukumu ya mgombea binafsi Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustine Ramadhan, amesema uamuzi wa Mahakama...
-
Ajali ya basi yaua abiria 16 Watu 16 wamefariki dunia na wengine 48 kujeruhiwa baada ya basi la...
-
Kura ya maoni Z`bar yamg`oa DC Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, amemfukuza kazi Mkuu wa Wilaya...
-
Takukuru sasa inatawala nchi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewakamata makada...
-
Karume awa mbogo Z`bar Rais wa Zanzibar Amani Abeid Karume, amevunja ukimya kwa kusema kuwa...
-
Umati wamlaki Slaa jijini Arusha Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod...
-
Jaji Eliamani Mbise afariki dunia Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliamani Mbise, amefariki dunia...
-
Tume ya uchaguzi yataka ushahidi wizi wa kura Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeomba kupewa taarifa za mianya ya wizi...
-
Waibuka washindi Viti Maalum CCM Wagombea kadha wameibuka na ushindi katika mchuano wa kura za uteuzi...
-
Waziri Sitta azungumzia sakata ya Takukuru Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Magreth Sitta, amekanusha...
-
Kamanda Takukuru ashushwa cheo WAKATI habari za rushwa zikiendelea kutawala harakati za kuwania ...
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 6
- 7
- 8
- 9
- 10
- 11
- 12
- 13
- 14
- 15
- 16
- 17
- 18
- 19
- 20
Zilizosomwa Sana
- Schorlaships
- MAJINA YA WANAFUNZI 33658 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA UFUNDI NA CHUO CHA MAJI MWAKA 2010
- United States
- CHAKULA CHA USIKU: WAHANGA SASA NI WANAWAKE! - Mwambie, usione haya
- AFYA! AFYA! Mambo yote muhimu haya hapa
- Dawa za Kuongeza Ufanisi wa Mwanaume Kitandani Zazinduliwa
- Europe
- Advertisement Plan
- ***BREAKING NEWS: Watuhumiwa wote kesi ya ZOMBE waachiliwa huru!!!***
- Aliyefumwa akibaka bintiye ala kichapo
- Australia
- Man Utd ushindi sasa basi
- Wanafunzi walioteketea kuzikwa kaburi moja leo
- Chanjo ya HIV yapunguza maambukizi
- United Kingdom
- Henry Joseph Shindika aula

