Sumatra: Hali ya biashara ya usafirishaji abiria mbaya
Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), imesema hali ya biashara ya usafirishaji abiria nchini ni mbaya kutokana na wamiliki kushindwa kuiendesha kwa ufanisi na kwa weledi.
Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka hiyo, Israel Sekirasa, wakati akizungumza na wadau wa utoaji wa huduma ya usafiri mijini.
Alisema hali ya utoaji wa huduma ya usafiri wa abiria kwa miji mikubwa kama Jiji la Dar es Salaam, hairidhishi kabisa kutokana na utaratibu wa wamiliki kuwasimamia madereva na makondakta wao.
Alisema hali hiyo huchangia katika kutofuata na kuvunja sheria na kanuni za usalama barabarani pamoja na utoaji huduma ya usafiri hafifu.
Alisema katika muundo wa makampuni yenyewe yanakuwa na wakaguzi wao ambao pamoja na kudhibiti matumizi mabaya ya magari yao, hudhibiti pia uvujaji wa mapato ya kampuni.
“Hali ilivyo sasa ni mbaya kutokana na kuwa na wamiliki wengi ambao wanashindwa kuendesha biashara ya usafirishaji kwa ufanisi na weledi, lazima tuboreshe mfumo wa utoaji huduma kupitia makampuni machache ambayo yanakuwa na uwezo wa kutoa huduma bora na mabasi yenye viwango,” alisema Sekirasa.
Alisema hali hiyo itasaidia pande zote mbili kwanza kwa wamiliki kufanya biashara ya usafirishaji kwa weledi na kwa ufanisi zaidi na kwa mdhibiti kuwasimamia watoa huduma wachache hivyo kuimarisha shughuli za udhibiti na hivyo kuwa na usafiri bora na salama kwa Watanzania.
| Comments |
|
3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."
Habari Motomoto
-
Wahariri kujadili jinsi ya kuwasaidia wapiga kura wakati wa kampeni Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini watakutana jijini...
-
Slaa apata mapokezi makubwa Musoma, Mwanza Maelfu ya wananchi, wakiwamo watumishi wa serikali, wafanyabiashara...
-
Jaji Mkuu: Hatukushinikizwa hukumu ya mgombea binafsi Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustine Ramadhan, amesema uamuzi wa Mahakama...
-
Ajali ya basi yaua abiria 16 Watu 16 wamefariki dunia na wengine 48 kujeruhiwa baada ya basi la...
-
Kura ya maoni Z`bar yamg`oa DC Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, amemfukuza kazi Mkuu wa Wilaya...
-
Takukuru sasa inatawala nchi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewakamata makada...
-
Karume awa mbogo Z`bar Rais wa Zanzibar Amani Abeid Karume, amevunja ukimya kwa kusema kuwa...
-
Umati wamlaki Slaa jijini Arusha Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod...
-
Jaji Eliamani Mbise afariki dunia Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliamani Mbise, amefariki dunia...
-
Tume ya uchaguzi yataka ushahidi wizi wa kura Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeomba kupewa taarifa za mianya ya wizi...
-
Waibuka washindi Viti Maalum CCM Wagombea kadha wameibuka na ushindi katika mchuano wa kura za uteuzi...
-
Waziri Sitta azungumzia sakata ya Takukuru Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Magreth Sitta, amekanusha...
-
Kamanda Takukuru ashushwa cheo WAKATI habari za rushwa zikiendelea kutawala harakati za kuwania ...
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 6
- 7
- 8
- 9
- 10
- 11
- 12
- 13
- 14
- 15
- 16
- 17
- 18
- 19
- 20
Zilizosomwa Sana
- Schorlaships
- MAJINA YA WANAFUNZI 33658 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA UFUNDI NA CHUO CHA MAJI MWAKA 2010
- United States
- CHAKULA CHA USIKU: WAHANGA SASA NI WANAWAKE! - Mwambie, usione haya
- AFYA! AFYA! Mambo yote muhimu haya hapa
- Dawa za Kuongeza Ufanisi wa Mwanaume Kitandani Zazinduliwa
- Europe
- Advertisement Plan
- ***BREAKING NEWS: Watuhumiwa wote kesi ya ZOMBE waachiliwa huru!!!***
- Aliyefumwa akibaka bintiye ala kichapo
- Australia
- Man Utd ushindi sasa basi
- Wanafunzi walioteketea kuzikwa kaburi moja leo
- Chanjo ya HIV yapunguza maambukizi
- United Kingdom
- Henry Joseph Shindika aula

