Saturday, September 04, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

Watu 708 wauawa kwa tetemeko la ardhi Chile

Rais Michelle Bachelet wa Chile amesema idadi ya watu waliouawa kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea siku ya Jumamosi nchini humo ni kiasi 708. Serikali ya Chile pia imekiri kuwa ilifanya makosa mwanzo kutotangaza hali ya hatari ya kutokea mawimbi ya tsunami,

yaliyosababisha vifo vingi katika eneo la pwani mwa nchi hiyo.

Tahadhari ya kutokea mawimbi ya tsunami katika eneo zima la Bahari ya Pacific, imeondolewa. Wakati huo huo serikali ya Chile imetangaza amri ya kutotembea katika mji wake mkuu wa pili wa Concepcion na mikoa inayouzunguka mji huo ambako uporaji ulitokea.

Rais Bachelet ametoa wito kwa wananchi kuwa watulivu na amesema maafisa wanagawa chakula, maji na misaada muhimu kwa karibu watu milioni mbili walioathirika na tetemeko hilo la ardhi. Tetemeko hilo la ardhi lilikuwa na kipimo cha richta 8.8.

Comments
Add New Search
Write comment
Name:
Email:
 
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

Habari Motomoto

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20

Login Form