Saturday, July 31, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

Rais wa Ufaransa azuru Rwanda

Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy anazuru Rwanda, ikiwa ndiyo mara ya kwanza kwa zaidi ya miongo miwili kwa kiongozi wa Ufaransa kufika katika taifa hilo.

Ziara hiyo ya Rais Sarkozy nchini Rwanda inatazamiwa kupunguza uhasama wa muda mrefu ambao

umekuwepo baina ya nchi hizo mbili. Uhasama huu ulitokana na kutupiana lawama kuhusu mauji ya kimbari ya Rwanda yaliotokea mwaka 1994.

Katika kilele cha uhasama huo mwaka 2006, Rwanda ilikata uhusiano wake wa kidiplomasia na Ufaransa, pale jaji mfaransa alipotoa vibali vya kimataifa vya kukamtwa kwa maafisa wakuu wa jeshi la Rwanda wanaotuhumiwa kutekeleza mauaji ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Juvenal Habyarimana.

Serikali ya Rwanda kwa upande wake imeilaumu Ufaransa kwa kuunga mkono, serikali ya Habyarimana katika kupanga mauaji hayo ya kimbari.

Comments
Add New Search
Write comment
Name:
Email:
 
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

Habari Motomoto

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20

Login Form