Mgomo wa Lufthansa umesimamishwa.
Ndege za Shirika la ndege la Ujerumani, Lufthansa zimeanza tena safari zake, baada ya marubani wake 4,000 kusimamisha mgomo wao na kurejea kazini usiku wa kuamkia leo. Shirika hilo la Lufthansa lilikuwa limewasilisha ombi mahakamani kusimamisha
mgomo huo wa siku nne.
Chama cha marubani hao Cockpit kikakubali kurejea kazini baada ya kugoma kwa siku moja pekee yake. Makubaliano hayo yanaitisha kuanzishwa kwa majadiliano mara moja na kuzuia kutofanyika kwa mgomo mwingine kabla ya tarehe nane mwezi Machi. Marubani hao wa Lufthansa wanalalamikia kuongezwa mishahara yao kwa asili mia sita pamoja na uhakika wa ajira zao kwa takriban mwaka mmoja.
Hata hivyo, mgomo wa wasimamizi wa mawasiliano ya angani nchini Ufaransa uliopangwa kuanza leo, utaendelea. Vile vileĀ uwezekano wa kufanyika kwa mgomo wa wahudumu wa ndege za Shirika la Ndege la Uingereza British Airways, itaendelea kutatiza safari za ndege hapa Ulaya.
| Comments |
|
3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."
Habari Motomoto
-
JK aahidi kuanzisha programu ya malisho Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete,...
-
Kesi ya Mramba ya nguruma Kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia hasara serikali...
-
Maelfu wajitokeza kumuaga Kalumuna Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakiwemo watu wenye ulemavu jana...
-
CCM yazuia wagombea kushiriki midahalo TBC CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewazuia wagombea wake wa ubunge kushiriki...
-
Mchungaji amfyeka vidole mtoto kanisani MTOTO wa kike aliyetajwa kwa jina la Anna Danken (17) wa KijijiĀ ...
-
ZEC yaanza kusilikiza pingamizi mgombea CUF Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), imeanza kusikiliza rufaa ya mgombea...
-
JK: Vyama vya upinzani vya msimu MGOMBEA urais kupitia CCM, Jakaya Kikwete ameviponda vyama vya upinzani...
-
Profesa Baregu avamiwa garini Mwenyekiti wa kamati ya kampeni ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo...
-
Mikoa 14 kukumbwa na ukame Baa la njaa linainyemelea Tanzania kutokana na utabiri wa hali ya...
-
Gari la mkuu wa kampeni Chadema lavunjwa vioo MWENYEKITI wa Kamati ya Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
-
Walimu mbaroni wizi wa mitihani ya darasa la sab WALIMU wakuu na wasimamizi wa mitihani, wanashikiliwa na polisi na...
-
Mahakama: Chenge ana kesi ya kujibu Mahakama ya wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam imesema mgombea...
-
Vyama 15 vyasaini rasimu ya mwongozo wa maadili Z`bar Viongozi wa vyama 15 vya siasa jana walisaini rasimu ya mwongozo...
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 6
- 7
- 8
- 9
- 10
- 11
- 12
- 13
- 14
- 15
- 16
- 17
- 18
- 19
- 20
Zilizosomwa Sana
- Schorlaships
- MAJINA YA WANAFUNZI 33658 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA UFUNDI NA CHUO CHA MAJI MWAKA 2010
- United States
- CHAKULA CHA USIKU: WAHANGA SASA NI WANAWAKE! - Mwambie, usione haya
- Dawa za Kuongeza Ufanisi wa Mwanaume Kitandani Zazinduliwa
- AFYA! AFYA! Mambo yote muhimu haya hapa
- Europe
- ***BREAKING NEWS: Watuhumiwa wote kesi ya ZOMBE waachiliwa huru!!!***
- Advertisement Plan
- Australia
- Aliyefumwa akibaka bintiye ala kichapo
- Man Utd ushindi sasa basi
- Ratiba ya Ligi Kuu Uingereza 2010/2011
- Chanjo ya HIV yapunguza maambukizi
- Wanafunzi walioteketea kuzikwa kaburi moja leo
- Japan

