Saturday, July 31, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

Mkuu wa zamani wa jeshi Sri Lankan akamatwa

Mkuu  wa  zamani  wa   jeshi  la  Sri  Lanka  amekamatwa kwa  kile  kilichoelezwa  kuwa  ni  kosa  la  kijeshi  kwa mujibu  wa  msemaji  wa  jeshi  hilo. Jenerali  Sarath Fonseka  aliongoza  awamu  ya  mwisho  ya  operesheni ambayo  ilisababisha  kushindwa  kwa  uasi  wa   kundi  la Tamil  Tigers  mwaka  jana   kabla   ya  kuingia  katika kinyang'anyiro  cha  uchaguzi  wa    urais  akishindana  na rais  Mahinda Rajapaksa  mwezi  uliopita. Tangu kuchaguliwa  tena  kwa  Rajapaksa  majeshi  ya  usalama yamekuwa  yakiwakamata  wafuasi  wa  Fonseka. Jenerali huyo  wa  zamani   mwenye  nyota  nne  amepinga matokeo  ya   uchaguzi  wa  rais  akisema  kuwa  anania  ya kupinga  matokeo  hayo  katika  mahakama  kuu.

Comments
Add New Search
Write comment
Name:
Email:
 
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

Habari Motomoto

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20

Login Form