Mkuu wa zamani wa jeshi Sri Lankan akamatwa
Mkuu wa zamani wa jeshi la Sri Lanka amekamatwa kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kosa la kijeshi kwa mujibu wa msemaji wa jeshi hilo. Jenerali Sarath Fonseka aliongoza awamu ya mwisho ya operesheni ambayo ilisababisha kushindwa kwa uasi wa kundi la Tamil Tigers mwaka jana kabla ya kuingia katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa urais akishindana na rais Mahinda Rajapaksa mwezi uliopita. Tangu kuchaguliwa tena kwa Rajapaksa majeshi ya usalama yamekuwa yakiwakamata wafuasi wa Fonseka. Jenerali huyo wa zamani mwenye nyota nne amepinga matokeo ya uchaguzi wa rais akisema kuwa anania ya kupinga matokeo hayo katika mahakama kuu.
| Comments |
|
Powered by !JoomlaComment 3.26
3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."
Habari Motomoto
-
Kura za Rais kutangazwa majimboni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kuwa matokeo ya Rais yatatangazwa...
-
Mhandisi apata wakati mgumu mbele ya JK Mhandisi wa Maji mkoani hapa, Mkama Bwire, juzi alipata wakati mgumu...
-
Sumatra: Hali ya biashara ya usafirishaji abiria mbaya Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini...
-
Watu 600 hawana makazi Mwanza Familia zaidi ya 120 zenye takribani watu 600 hazina makazi kutokana...
-
Mramba aibuka kwa mapadri, masheikh Mbunge wa Rombo, Basil Mramba (CCM), amekutana na viongozi wa dini...
-
Ndege ya ATCL yapata hitilafu angani Ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), juzi ilikwamisha safari...
-
IGP Mwema apangua jeshi la Polisi, ahamisha vigogo wa juu MKUU wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Saidi Mwema amefanya tena...
-
Mvua yaleta madhara, yabomoa nyumba 175 Mwanza NYUMBA 175 zimeanguka kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo...
-
Maalim Seif aendelea kupumzishwa zaidi hospitalini HALI ya katibu mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif...
-
Zenji washerehekea kurejea kwa umeme WANANCHI wa visiwa vya Zanzibar walikuwa ni wenye furaha baada ya...
-
Vigogo wa Rites waanza kutimka WAKATI serikali ikitarajiwa kutoa tamko la mustakabali wa shirika...
-
Mrema adai Spika Sitta amlipe Sh 1 bilioni HATIMAYE mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema...
-
Rufaa ya mgombea binafsi ngoma nzito Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustine Ramadhan, amewaandikia barua maprofesa...
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 6
- 7
- 8
- 9
- 10
- 11
- 12
- 13
- 14
- 15
- 16
- 17
- 18
- 19
- 20
Zilizosomwa Sana
- Schorlaships
- Advertisement Plan
- AFYA! AFYA! Mambo yote muhimu haya hapa
- CHAKULA CHA USIKU: WAHANGA SASA NI WANAWAKE! - Mwambie, usione haya
- Aliyefumwa akibaka bintiye ala kichapo
- Dawa za Kuongeza Ufanisi wa Mwanaume Kitandani Zazinduliwa
- United States
- ***BREAKING NEWS: Watuhumiwa wote kesi ya ZOMBE waachiliwa huru!!!***
- Europe
- Man Utd ushindi sasa basi
- Wanafunzi walioteketea kuzikwa kaburi moja leo
- Google now in Tanzania, Advertise!
- Australia
- Henry Joseph Shindika aula
- Vyeti feki - Mawaziri sita wanasa
- United Kingdom

