Marekani kuwahamisha manusura, Haiti
Marekani imesema shughuli ya kuwahamisha watu waliojeruhiwa vibaya wakati wa tetemeko kubwa la ardhi nchini Haiti itaanza upya saa chache zijazo.Msemaji wa Ikulu ya White House Tommy Vietor, amesema serikali ya Marekani imeshirikiana na
washirika wake wa kimataifa, mashirika yasiyo ya kiserikali na utawala wa majimbo yote nchini humo kuongeza viwango vya kuwahudumia wagonjwa kutoka Haiti.
Safari za ndege kutoka Haiti zilisitishwa siku ya jumatano na madaktari wengi nchini humo wanahofia kuwa wagonjwa wengi huenda wakafariki.
Bwana Vietor amekanusha kuwa tatizo hilo lilisababishwa na ukosefu wa pesa, akisema kwamba safari za ndege zilisitishwa kutokana na hitilafu za utaratibu wa ugavi na usafirishaji wa wagonjwa hao.
| Comments |
|
Powered by !JoomlaComment 3.26
3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."
Habari Motomoto
-
Jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Nigeria lahitaji bilioni 4/- Ubalozi wa Tanzania nchini Nigeria, unahitaji jumla ya Shilingi bilioni...
-
Mwalimu aliyefariki aendelea `kula` mshahara, apanda cheo Halmashauri ya wilaya ya Bunda, imeingia kwenye kashfa kubwa baada...
-
EAC kujenga mtandao wa reli Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, zimeazimia kujenga mtandao wa...
-
Tanroads yaanzisha mchakato wa mradi wa mabasi ya kasi Hatimaye Wakala wa Barabara nchini (Tanroads), umetangaza nia ya kutekeleza...
-
RCO atoa ushahidi kesi ya wizi NMB Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa kipolisi wa Ilala (RCO), Duani Nyanda...
-
Ngeleja: Serikali kununua Dowans ndoto Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, amekanusha vikali kwamba...
-
Kikwete Rais wa kwanza kutia mguu Kitunda Ziara ya Rais Jakaya Kikwete kwenye kata ambayo haijawahi kutembelewa...
-
Ikulu lawamani vita ya ufisadi RIPOTI ya Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mpango wa Kutathmini Utawala...
-
Jaji Bomani kutopambana na Rais Kikwete 2010 BAADA ya kutajwa kuwa na dhamira ya kumvaa Rais Jakaya Kikwete, kwenye...
-
Kapuya, Tucta washangaana SERIKALI imesema inafanya uchunguzi kujua sababu zilizofanya Shirikisho...
-
Benki ya Dunia yatoa mikopo ya nyumba ya Sh50 bilioni BENKI ya Dunia (WB) imeidhinisha Tanzania kupatiwa mkopo wa dola za...
-
Watu 3,000 wapiga simu kujua kama Maalim Seif amekufa ZAIDI ya watu 3,800 wamepiga simu kutoka kona mbalimbali duniani kwa...
-
Marekani yaonya wingi wa bidhaa feki nchini BALOZI wa Marekani nchini , Alfonso Lenhardt amesema biashara ya bidhaa...
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 6
- 7
- 8
- 9
- 10
- 11
- 12
- 13
- 14
- 15
- 16
- 17
- 18
- 19
- 20
Zilizosomwa Sana
- Schorlaships
- Advertisement Plan
- AFYA! AFYA! Mambo yote muhimu haya hapa
- CHAKULA CHA USIKU: WAHANGA SASA NI WANAWAKE! - Mwambie, usione haya
- Aliyefumwa akibaka bintiye ala kichapo
- Dawa za Kuongeza Ufanisi wa Mwanaume Kitandani Zazinduliwa
- United States
- ***BREAKING NEWS: Watuhumiwa wote kesi ya ZOMBE waachiliwa huru!!!***
- Europe
- Man Utd ushindi sasa basi
- Wanafunzi walioteketea kuzikwa kaburi moja leo
- Google now in Tanzania, Advertise!
- Australia
- Henry Joseph Shindika aula
- Vyeti feki - Mawaziri sita wanasa
- United Kingdom

