Saturday, July 31, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

Mtuhumiwa wa shambulizi la Septemba 11 kupewa adhabu ya kifo

Mtuhumiwa wa yale mashambulizi ya Septemba 11 nchini Marekani, Khalid Sheikh Mohammed huenda akapewa adhabu ya kifo baada ya kuhukumiwa.

Msemaji wa Ikulu ya Marekani Robert Gibbs alisema

utawala wa Rais Obama uko katika harakati za kutafuta eneo jingine mbali na New York kumhukumu Mohammed na watuhumiwa wengine wanne wa mashambulizi hayo, kufuatia  pingamizi za kiusalama na gharama huko New York.

Comments
Add New Search
Write comment
Name:
Email:
 
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

Habari Motomoto

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20

Login Form