China kuziwekea vikwazo kampuni za Marekani
Wizara ya mambo ya nchi za nje ya China imesema nchi hiyo, itaziwekea vikwazo kampuni za Marekani zilizohusika katika biashara ya kuiuzia Taiwan silaha zilizogharimu dola bilioni 6.4. Kampuni ambazo huenda
zikaathirika, ni pamoja na kampuni ya kuunda ndege Boeing pamoja na United Technologies, kampuni hizo mbili zina maslahi makubwa ya kibiashara nchini China.
Naibu waziri wa nchi za nje wa China, He Yafei amewasilisha malalamiko rasmi kwa balozi wa Marekani nchini China, Jon Huntsman akisema biashara hiyo ya silaha itaathiri sehemu kubwa ya uhusiano wa nchi hizo mbili. Mshauri mkuu wa rais Obama Generali James Jones hata hivyo amesema uhusiano kati ya Marekani na China ni madhubuti na hauwezi kuathirika kutokana na biashara hii ya silaha.
Uamuzi wa Marekani wa kuiuzia Taiwan makombora ya kujikinga na helkopta za kijeshi imeibua mvutano mkubwa kati ya nchi hizo mbili, na China imeamua kusitisha kwa muda ushirikiano wa kijeshi na Marekani na pia kufutilia mbali kwa sasa majadiliano kuhusiana na mkakati wa usalama pamoja na kudhibitiwa kwa silaha.
| Comments |
|
3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."
Habari Motomoto
-
Kura za Rais kutangazwa majimboni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kuwa matokeo ya Rais yatatangazwa...
-
Mhandisi apata wakati mgumu mbele ya JK Mhandisi wa Maji mkoani hapa, Mkama Bwire, juzi alipata wakati mgumu...
-
Sumatra: Hali ya biashara ya usafirishaji abiria mbaya Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini...
-
Watu 600 hawana makazi Mwanza Familia zaidi ya 120 zenye takribani watu 600 hazina makazi kutokana...
-
Mramba aibuka kwa mapadri, masheikh Mbunge wa Rombo, Basil Mramba (CCM), amekutana na viongozi wa dini...
-
Ndege ya ATCL yapata hitilafu angani Ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), juzi ilikwamisha safari...
-
IGP Mwema apangua jeshi la Polisi, ahamisha vigogo wa juu MKUU wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Saidi Mwema amefanya tena...
-
Mvua yaleta madhara, yabomoa nyumba 175 Mwanza NYUMBA 175 zimeanguka kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo...
-
Maalim Seif aendelea kupumzishwa zaidi hospitalini HALI ya katibu mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif...
-
Zenji washerehekea kurejea kwa umeme WANANCHI wa visiwa vya Zanzibar walikuwa ni wenye furaha baada ya...
-
Vigogo wa Rites waanza kutimka WAKATI serikali ikitarajiwa kutoa tamko la mustakabali wa shirika...
-
Mrema adai Spika Sitta amlipe Sh 1 bilioni HATIMAYE mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema...
-
Rufaa ya mgombea binafsi ngoma nzito Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustine Ramadhan, amewaandikia barua maprofesa...
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 6
- 7
- 8
- 9
- 10
- 11
- 12
- 13
- 14
- 15
- 16
- 17
- 18
- 19
- 20
Zilizosomwa Sana
- Schorlaships
- Advertisement Plan
- AFYA! AFYA! Mambo yote muhimu haya hapa
- CHAKULA CHA USIKU: WAHANGA SASA NI WANAWAKE! - Mwambie, usione haya
- Aliyefumwa akibaka bintiye ala kichapo
- Dawa za Kuongeza Ufanisi wa Mwanaume Kitandani Zazinduliwa
- United States
- ***BREAKING NEWS: Watuhumiwa wote kesi ya ZOMBE waachiliwa huru!!!***
- Europe
- Man Utd ushindi sasa basi
- Wanafunzi walioteketea kuzikwa kaburi moja leo
- Google now in Tanzania, Advertise!
- Australia
- Henry Joseph Shindika aula
- Vyeti feki - Mawaziri sita wanasa
- United Kingdom

