Mgomo wa madereva wa malori unaathiri watalii
Saturday, 31 July 2010 06:12
Serikali ya Ugiriki jana ilitumia malori ya kijeshi kusaidia kupunguza uhaba wa mafuta uliosababishwa na mgomo wa madereva wa malori. Mgomo huo umeathiri sekta ya uchukuzi na usafiri wakati huu wa msimu wa


Moto wa msituni uliosambaa Urusi umeua kiasi ya watu 25 na maelfu wengine wamelazimishwa kuondoka katika makaazi yao. Tangu mwezi wa Juni, Urusi imekumbwa na wimbi la joto kali kabisa, hali ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu ulipoanzishwa
Mahakama moja nchini Uganda imewashitaki watu watatu kwa makosa ya ugaidi na mauaji yaliyotokea katika mashambulio ya mabomu kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Kampala tarehe 11 mwezi huu wa Julai.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa wito wa kusitisha moja kwa moja mapigano katika Darfur na kuyataka makundi yote ya waasi kushiriki katika mazungumzo ya amani ili kumaliza mapigano ya miaka saba katika
Watu 16 wakiwemo maafisa wa usalama wameuawa na wengine 14 wamejeruhiwa katika mashambulio ya mfululizo yaliyotokea katika eneo la kaskazini mwa Iraq la Al-Adhamiyah.Kulingana na Wizara ya mambo ya ndani, wahalifu hao
Kosovo imeutolea Umoja wa Mataifa wito wa kuitambua kikamilifu kidiplomasia.Alipokutana na wawakilishi wa mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa, katika makao yake makuu ya Newyork,Waziri wa Mambo ya Nje
Ujerumani ina azma ya kuzindua mpango maalum wa kuwavutia wafanyakazi walio na ujuzi kwa minajili ya kuliziba pengo kwenye soko la ajira.Kwa mujibu wa Waziri wa Uchumi,Rainer Brüderle,kuna haja ya kuwavutia
Idadi ya watu waliofariki baada ya boti kwenda mrama jimboni Bandundu imepita 120.Kwa mujibu wa polisi,boti hilo lililosheheni mizigo na abiria lilikwenda mrama kwasababu ya hali mbaya ya hewa.Serikali ya Congo
Ujumbe wa Jumuiya ya kujihami ya mataifa ya magharibi,NATO,ulioko nchini Afghanistan umelikosoa vikali tukio la hivi karibuni la kuvuja kwa hati za siri za kijeshi.Nyaraka hizo ziliyafafanua mazingira ya vita vya Afghanistan. Kwa mujibu wa
Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limelitambua suala la uwezo wa kupata maji safi yaliyo salama na huduma za usafi kama haki ya binadamu.Tamko hilo limepongezwa na wanaharakati wa masuala ya maji kuwa hatua kubwa muhimu, ambayo huenda
Jaji mmoja katika mahakama ya serikali ya shirikisho jimboni Arizona,amevizuwia vipengee muhimu vya sheria mpya ya uhamiaji vinavyozua mitazamo tofauti.Kulingana na sheria hiyo,maafisa wa polisi wangekuwa
Pakistan imetangaza siku ya maombolezi ya kitaifa ya kuwakumbuka waliopoteza maisha yao katika ajali ya ndege iliyodondoka karibu na mji wa Islamabad.Watu wote 152 waliokuwamo kwenye ndege ya
Idadi ya waliopoteza maisha yao katika msongamano kwenye tamasha la Love-parade la wikendi imefikia 21.Kulingana na maafisa wa serikali,mwanamke mmoja aliye na umri wa miaka 25 amefariki kwasababu ya majeraha aliyoyapata wakati wa
Mkaguzi wa zamani wa silaha wa Umoja wa Mataifa,Hans Blix ameielezea tume inayojitegemea ya Uingereza inayoyachunguza mazingira yaliyouidhinisha uvamizi wa Iraq kuwa, uamuzi huo ulijikita katika tathmini za kijasusi
Wabunge wa Marekani wameuidhinisha mpango wa dharura utakaozifadhili operesheni za Afghanistan hususan hatua ya kuiongeza idadi ya wanajeshi.Mswada huo unasubiri saini ya Rais Obama
Ujerumani imetangaza kuwa Uturuki bado haiko tayari kuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Ulaya.Kauli hizo zimetolewa na Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Guido Westerwelle.Katika mahojiano aliyofanyiwa na Gazeti la Bild ,
Kampuni ya mafuta ya Uingereza,BP imetangaza kuwa mkurugenzi mkuu anayeondoka madarakani Tony Hayward,atajiuzulu rasmi ifikapo Oktoba mosi na wadhifa huo utamuendea Bob Dudley,ambaye ni Mmarekani.Kampuni hiyo kubwa
Ndege moja ya usafiri wa wanajeshi wa Israel iliyokuwa na abiria 7 imedondoka kwenye eneo la milima mingi lililoko katikati ya nchi ya Romania.Kwa mujibu wa ripoti ya Wizara ya Ulinzi ya Romania,ajali hiyo ilitokea wakati
Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa wanachama wa Umoja wa Ulaya,wamekubaliana kuiwekea Iran vikwazo zaidi ambayo bado inakataa kuusitisha mpango wake wa nuklia unaozua utata.Vikwazo hivyo vipya ni vikali zaidi kuliko vile ilivyowekwa hivi karibuni na Umoja wa Mataifa.Akizungumza mjini
Bunge la Serbia limelipitisha azimio linalosema kwamba kamwe haitoikubali hatua ya Kosovo kujitenga na kujitangazia uhuru wake.Azimio hilo lililoidhinishwa kwa kura 192 na kupingwa kwa 26, limepitishwa baada ya kikao
Waendesha mashtaka wa Ujerumani wameifungua rasmi kesi ya maafa yaliyotokea mwishoni mwa wiki wakati wa tamasha la muziki aina ya Rock,Love Parade.Kulingana na msemaji wa afisi ya mwendesha mashtaka,mahakama itatathmini