Saturday, July 31, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

RokStories

Watu 25 wafariki katika moto wa misitu Urusi

Moto wa msituni uliosambaa Urusi umeua kiasi ya watu 25 na maelfu wengine wamelazimishwa kuondoka katika makaazi yao. Tangu mwezi wa Juni, Urusi imekumbwa na wimbi la joto kali kabisa, hali ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu ulipoanzishwa

 

Mgomo wa madereva wa malori unaathiri watalii

Serikali ya Ugiriki jana ilitumia malori ya kijeshi kusaidia kupunguza uhaba wa mafuta uliosababishwa na mgomo wa madereva wa malori. Mgomo huo umeathiri sekta ya uchukuzi na usafiri wakati huu wa msimu wa

   

Watu 3 washitakiwa kwa mauaji Uganda

Mahakama moja nchini Uganda imewashitaki watu watatu kwa makosa ya ugaidi na mauaji yaliyotokea katika mashambulio ya mabomu kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Kampala tarehe 11 mwezi huu wa Julai.

Washabiki wa mpira wa miguu 61 waliuawa walipokuwa

   

UN yatoa mwito kusitisha mapigano Darfur

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa wito wa kusitisha moja kwa moja mapigano katika Darfur na kuyataka makundi yote ya waasi kushiriki katika mazungumzo ya amani ili kumaliza mapigano ya miaka saba katika

   

16 wauawa kaskazini mwa Iraq

Watu 16 wakiwemo maafisa wa usalama  wameuawa na wengine 14 wamejeruhiwa katika mashambulio ya mfululizo yaliyotokea katika eneo la kaskazini mwa Iraq la Al-Adhamiyah.Kulingana na Wizara ya mambo  ya ndani, wahalifu hao

   

Kosovo yaitaka UN kuitambua kidiplomasia kikamilifu

Kosovo imeutolea Umoja wa Mataifa wito wa kuitambua kikamilifu kidiplomasia.Alipokutana na wawakilishi  wa mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa, katika  makao yake makuu ya Newyork,Waziri wa Mambo ya Nje

   

Ujerumani kuwavutia wafanyakazi walio na ujuzi

Ujerumani  ina azma  ya kuzindua mpango maalum wa  kuwavutia wafanyakazi walio  na ujuzi kwa minajili ya  kuliziba pengo kwenye soko la  ajira.Kwa mujibu wa  Waziri wa Uchumi,Rainer Brüderle,kuna haja ya kuwavutia

   

Zaidi ya 120 wafariki kwenye ajali ya boti-DRC

Idadi ya watu waliofariki baada  ya boti kwenda mrama jimboni Bandundu imepita 120.Kwa mujibu wa polisi,boti hilo lililosheheni mizigo  na abiria  lilikwenda mrama kwasababu ya hali  mbaya ya hewa.Serikali ya Congo

   

ISAF yakilaani kitendo cha kuvuja hati za siri

Ujumbe wa Jumuiya ya kujihami  ya  mataifa ya magharibi,NATO,ulioko nchini Afghanistan umelikosoa vikali tukio la hivi karibuni la kuvuja kwa hati za siri za  kijeshi.Nyaraka hizo ziliyafafanua mazingira ya vita vya Afghanistan. Kwa mujibu wa

   

Maji salama na huduma za usafi ni haki-UN

Baraza kuu  la Umoja wa Mataifa limelitambua suala la uwezo wa kupata maji safi  yaliyo salama na huduma za usafi kama haki ya binadamu.Tamko hilo limepongezwa na wanaharakati wa masuala ya maji kuwa  hatua kubwa muhimu, ambayo huenda

   

Sheria ya uhamiaji yakumbwa na mapya-Arizona

Jaji mmoja katika mahakama ya serikali ya shirikisho jimboni Arizona,amevizuwia vipengee  muhimu vya sheria mpya  ya uhamiaji vinavyozua  mitazamo  tofauti.Kulingana na sheria hiyo,maafisa wa polisi wangekuwa

   

Wataalam kutumia vipimo vya DNA,Pakistan

Pakistan imetangaza siku ya maombolezi ya kitaifa ya kuwakumbuka waliopoteza maisha yao katika  ajali ya ndege iliyodondoka karibu na mji  wa Islamabad.Watu wote 152 waliokuwamo kwenye  ndege ya

   

Idadi ya maafa ya Duisburg yafikia 21

Idadi  ya  waliopoteza maisha yao katika msongamano kwenye tamasha la Love-parade la wikendi imefikia 21.Kulingana na maafisa wa serikali,mwanamke mmoja aliye na umri wa miaka 25 amefariki kwasababu  ya majeraha  aliyoyapata wakati   wa

   

Mkaguzi wa silaha wa UN asema mambo yalikosewa

Mkaguzi wa zamani wa silaha wa Umoja wa Mataifa,Hans Blix ameielezea tume inayojitegemea ya Uingereza inayoyachunguza mazingira  yaliyouidhinisha uvamizi  wa Iraq kuwa, uamuzi huo ulijikita katika tathmini za kijasusi

   

Bunge la Marekani laidhinisha ufadhili wa Afghanistan

Wabunge wa Marekani wameuidhinisha mpango wa dharura utakaozifadhili  operesheni za  Afghanistan hususan hatua ya kuiongeza idadi ya wanajeshi.Mswada huo unasubiri  saini  ya  Rais Obama

   

Uturuki haiko tayarikujiunga na EU

Ujerumani imetangaza  kuwa  Uturuki bado haiko tayari kuwa mwanachama kamili wa Umoja  wa Ulaya.Kauli  hizo zimetolewa na Waziri  wa  mambo ya nje wa Ujerumani Guido Westerwelle.Katika mahojiano  aliyofanyiwa  na Gazeti la  Bild ,

   

BP yamteua mkurugenzi mpya

Kampuni ya mafuta ya Uingereza,BP imetangaza kuwa mkurugenzi mkuu  anayeondoka  madarakani Tony Hayward,atajiuzulu  rasmi ifikapo Oktoba mosi na wadhifa huo utamuendea Bob Dudley,ambaye ni Mmarekani.Kampuni hiyo kubwa

   

Ndege ya kijeshi ya Israel yadondoka Romania

Ndege moja ya usafiri wa wanajeshi wa Israel iliyokuwa na abiria 7 imedondoka kwenye eneo la milima mingi lililoko katikati ya nchi ya Romania.Kwa mujibu wa ripoti ya Wizara ya Ulinzi ya Romania,ajali hiyo ilitokea wakati

   

Iran na mbinyo zaidi

Mawaziri wa  mambo ya  nje  wa   mataifa wanachama  wa Umoja wa  Ulaya,wamekubaliana kuiwekea Iran vikwazo zaidi ambayo bado inakataa  kuusitisha mpango  wake wa nuklia unaozua utata.Vikwazo hivyo vipya ni vikali zaidi kuliko vile ilivyowekwa hivi karibuni na Umoja  wa Mataifa.Akizungumza mjini

   

Serbia kamwe haitoutambua uhuru wa Kosovo

Bunge la Serbia limelipitisha azimio  linalosema kwamba kamwe haitoikubali  hatua ya Kosovo kujitenga na kujitangazia  uhuru wake.Azimio hilo lililoidhinishwa kwa kura 192   na  kupingwa  kwa 26, limepitishwa baada ya  kikao

   

Kesi ya maafa ya Duisburg yaanza

Waendesha  mashtaka  wa Ujerumani wameifungua rasmi  kesi ya maafa yaliyotokea mwishoni mwa wiki wakati wa tamasha la muziki aina ya Rock,Love Parade.Kulingana  na msemaji wa afisi ya mwendesha mashtaka,mahakama itatathmini

   

Page 1 of 41

Habari Motomoto

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20

Login Form