Thursday, March 11, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

RokStories

7 wakamatwa kwa tuhuma za mauaji,Ireland

Polisi wa Ireland wamewakamata watu 7 wanaotuhumiwa kuhusika na njama ya kumuua mchora vibonzo mmoja wa Uswisi.Mchoraji huyo wa gazeti alichora kibonzo cha Mtume Muhammad S.A.W. akiwa na mwili wa mbwa.

 

Waasi 90 wa FDLR wauawawa Kongo

Wanajeshi wa serikali walioko eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamewauawa waasi 90 wa Kihutu tangu walipoanzisha mwezi uliopita operesheni mpya ya kuwafurusha. Kwa mujibu wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo MONUC,

   

Wanaharakati alfu 5 waandamana Nigeria

Kiasi cha wanaharakati alfu 5 wameandamana hii leo ili kulishinikiza baraza la mawaziri kujiuzulu pamoja na kumtaka Rais Umar Yar'Adua anayeugua awahutubie wananchi.Ni wiki mbili tangu kiongozi huyo arejee nchini baada ya kutibiwa nchini Saudi

   

EU,Marekani zailaani Israel

Mkuu wa sera za Umoja wa Ulaya Catherine Ashton ameulaani uamuzi wa Israel wa kuendelea kuyajenga makazi 1600 mapya katika eneo la Jerusalem Mashariki la Waarabu wengi. Kauli hizo zimetolewa baada ya Makamu wa

   

Polisi yavunja maandamano Togo

Polisi wa kupambana na ghasia nchini Togo wamelazimika kutumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji zaidi ya 1,000 waliokuwa wamekusanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Lome, kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais.

   

Kamanda wa Hizbul Islam auwawa Mogadishu

Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Hizbul Islam nchini Somalia, Bare Ali Bare, amepigwa risasi na kuuwawa mjini Mogadishu hii leo. Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo, mtu asiyejulikana aliyekuwa

   

Papandreou kukutana na Obama leo

Waziri mkuu wa Ugiriki, George Papandreou, anatarajiwa kukutana na rais wa Marekani Barack Obama mjini Washington hii leo. Mkutano kati ya viongozi hao unafanyika wakati kukiwa na wasiwasi kwamba walanguzi wa fedha wanahujumu juhudi za Ugiriki

   

Marekani yaitaka Nigeria ichunguze mauaji

Marekani na mashirika ya kutetea haki za binadamu yameitaka Nigeria iyachunguze kwa uangalifu mauaji ya watu takriban 400 waliouwawa wakati wafugaji Waislamu walipovivamia vijiji vya Wakristo karibu na mji wa Jos,

   

Waziri mkuu wa zamani wa Niger aachiwa huru

Utawala wa kijeshi nchini Niger umemuachilia huru Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Ali Badjo Gamatie na mawaziri wanne, lakini bado unamshikilia Rais wa zamani Mamadou Tandja. Utawala huo wa kijeshi uliomuondoa madarakani Rais Tandja Februari 18 mwaka

   

Rais Mubarak kufanyiwa upasuaji leo

Rais wa Misri, Hosni Mubarak leo anatarajiwa kufanyiwa upasuaji katika kibofu cha nyongo.

Televisheni ya taifa ya Misri imetangaza kuwa Rais Mubarak alie nchini Ujerumani kwa mazungumzo na Kansela Angela Merkel, anafanyiwa upasuaji huo

   

Brown atetea ushiriki wa Uingereza vita vya Iraq

Waziri Mkuu wa Uingereza, Gordon Brown ametetea hatua ya nchi hiyo kushiriki katika vita vya Iraq. Bwana Brown amesema anaamini ilikuwa halali na ilifanya hivyo  kwa sababu zilizo sahihi.

Kiongozi huyo ametoa kauli hiyo alipokuwa

   

Papandreou akutana na Merkel

Waziri Mkuu wa Ugiriki, George Papandreou amekutana na Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel mjini Berlin kujadili mipango ya Ugiriki ya kukabiliana na mzozo wa bajeti yake. Katika mkutano wa pamoja na waandishi habari, Bibi Merkel alisema katika mazungumzo

   

Vyama vya upinzani nchini Ivory Coast vimetaja mawaziri wake wepya

Nchini Ivory Coast, upande wa upinzani umetoa majina ya mawaziri 11 katika serikali mpya ya umoja wa taifa. Serikali hiyo iliyotangazwa juma lililopita, ina mawaziri 16 kutoka chama cha FPI

   

Mvua kubwa zimezuia kazi za uokozi nchini Uganda

Mvua kubwa zilizonyesha mashariki ya Uganda zimesababisha mafuriko na zinazuia kazi za uokozi katika eneo ambako nyumba zimegubikwa na maporomoko ya udongo. Kwa mujibu wa kamanda wa polisi wa eneo hilo la

   

Ugiriki kupunguza nakisi ya bajeti yake kwa Euro bilioni4.8

Bunge la Ugiriki leo linapiga kura kuidhinisha mpango uliopendekezwa na serikali katika jitahada za kupunguza gharama zake kwa hadi Euro bilioni 4.8. Serikali inachukua hatua hizo ili

   

Magaidi wa Sauerland wahukumiwa vifungo virefu gerezani

Katika kesi kubwa kabisa ya ugaidi nchini Ujerumani, watu wanne waliokiri kupanga kuripua vituo vya kijeshi vya Marekani viliopo Ujerumani, wamehukumiwa vifungo vya jela vya hadi miaka 12.

Wanamgambo hao wanne maarufu

   

Serikali ya Tymoshenko yavunjwa

Serikali ya Waziri Mkuu wa Ukraine, Yulia Tymoshenko imevunjwa ikiwa ni mwezi mmoja baada ya kushindwa katika uchaguzi wa urais nchini humo.

Spika wa Bunge la Ukraine, Volodymyr Lytvyn ameliambia bunge la nchi hiyo kuwa

   

Papandreou aonya kuhusu mzozo wa fedha Ugiriki

Waziri Mkuu wa Ugiriki, George Papandreou, ameonya kuwa nchi yake iko katika hatari ya kufilisika, kama haitachukua hatua madhubuti za kutatua mzozo wake wa kifedha.

Papandreou amesema Ugiriki iko katika ''hali ya vita'',

   

Idadi ya watu waliokufa Chile yafikia 795

Rais Michelle Bachelet wa Chile, amesema idadi ya watu waliouawa na tetemeko la ardhi lililotokea nchini humo mwishoni mwa wiki iliyopita, imeongezeka na kufikia 795. Kufuatia uporaji ulioenea, Rais Bachelet ameamuru wanajeshi 11,000 kupelekwa katika

   

Mahakama nchini Ujerumani yabatilisha sheria ya kuhifadhi data

Mahakama kuu nchini Ujerumani imebatilisha sheria ya Umoja wa Ulaya kuhusu uhifadhi wa data za mawasiliano. Sheria hiyo ilitaka kuhifadhiwa kwa mawasiliano ya simu na mtandao kwa muda wa miezi sita.

Katika ushindi huo wa

   

Venezuela yatupilia mbali madai ya jaji wa Uhispania

Venezuela imetupilia mbali mashitaka yaliyotolewa na jaji wa Uhispania kuwa ilishirikiana na makundi ya waasi ya Colombia na Basque kupanga mauaji ya rais wa Colombia. Wizara ya mambo ya nchi za nje ya Venezuela

   

Page 1 of 26

Habari Motomoto

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20

Login Form