Tuesday, February 09, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

image image image image
Marekani kuwahamisha manusura, Haiti Marekani imesema shughuli ya kuwahamisha watu waliojeruhiwa vibaya wakati wa tetemeko kubwa la ardhi nchini Haiti itaanza upya saa chache zijazo. Msemaji wa Ikulu ya White House Tommy Vietor, amesema serikali ya Marekani imeshirikiana na
Mtuhumiwa wa shambulizi la Septemba 11 kupewa adhabu ya kifo Mtuhumiwa wa yale mashambulizi ya Septemba 11 nchini Marekani, Khalid Sheikh Mohammed huenda akapewa adhabu ya kifo baada ya kuhukumiwa. Msemaji wa Ikulu ya Marekani Robert Gibbs alisema
Rais Mutharika wa Malawi, mwenyekiti mpya wa AU Kiongozi wa Libya Muamar Gadhafi ameshindwa katika juhudi zake za kutaka kuongeza muda wake kama mwenyekiti wa Umoja wa Afrika. Katika mkutano wa viongozi na marais wa Umoja huo wenye wanachama 53 ulioanza leo,
China kuziwekea vikwazo kampuni za Marekani Wizara ya mambo ya nchi za nje ya China imesema nchi hiyo, itaziwekea vikwazo kampuni za Marekani zilizohusika katika biashara ya kuiuzia Taiwan silaha zilizogharimu dola bilioni 6.4.  Kampuni ambazo huenda

Tanzania Live News

Matokeo kidato cha nne 2009 yametoka!

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2009 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES

TEMBELEA: LINK HII UKAONE MATOKEO YOTE


Ufaulu wapungua.

Mzimu wa somo la Hisabati waendelea kuumiza vichwa vya wadogo zetu.

 

 


 


 
Move
-

Habari za Michezo

Top Headline
Rafa siendi Juve

Kocha wa Liverpool Rafa Banitez ameendela kusisitiza kuwa yeye hana mpango wa kujiunga na klabu ya serial A ya italia Juventus mwishoni mwa msimu mwa ligi. Tetesi tuko huko nchini Italy zimesema vigogo hao wa nchini humo, ambao wiki iliyipita walimuajiri bwana...

Read More...
Man U waitandika Arsenal 3-1

Ligi ya Uingereza inaendelea kupamba moto huku Manchester United wakiimarisha nafasi yao ya kubeba kombe hilo kwa kuitandika Arsenal mabao 3-1 kwenye uwanja wa Emirates. Hadi kipindi cha mapumziko Man U walikuwa wanaongoza kwa 3-0. Kipa...

Read More...
Sisi sio timu ya mtu mmoja

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney, ambaye mpaka sasa ndiye anayeongoza kwa upachikaji magoli kwenye ligi kuu ya Uingereza jana usiku alisisitizakuwa "sisi sio imu ya mtu mmoja" Rooney alifikisha magoli 21 juzi siku ya jumatano baada ya kufunga goli...

Read More...

Maoni tuliyopokea punde

Habari Motomoto

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20

Login Form