Wednesday, March 10, 2010
   
Text Size

Tafuta kwenye Website hii

image image image image
Polisi yavunja maandamano Togo Polisi wa kupambana na ghasia nchini Togo wamelazimika kutumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji zaidi ya 1,000 waliokuwa wamekusanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Lome, kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais.
Kamanda wa Hizbul Islam auwawa Mogadishu Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Hizbul Islam nchini Somalia, Bare Ali Bare, amepigwa risasi na kuuwawa mjini Mogadishu hii leo. Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo, mtu asiyejulikana aliyekuwa
Papandreou kukutana na Obama leo Waziri mkuu wa Ugiriki, George Papandreou, anatarajiwa kukutana na rais wa Marekani Barack Obama mjini Washington hii leo. Mkutano kati ya viongozi hao unafanyika wakati kukiwa na wasiwasi kwamba walanguzi wa fedha wanahujumu juhudi za Ugiriki
Marekani yaitaka Nigeria ichunguze mauaji Marekani na mashirika ya kutetea haki za binadamu yameitaka Nigeria iyachunguze kwa uangalifu mauaji ya watu takriban 400 waliouwawa wakati wafugaji Waislamu walipovivamia vijiji vya Wakristo karibu na mji wa Jos,

Tanzania Live News

 
Move
-

Habari za Michezo

Top Headline
Eriksson kutofundisha Ivory Coast

Wakala wa Sven-Goran Eriksson amesema kocha huyo hatochukua nafasi ya kuifundisha timu ya taifa ya Ivory Coast katika Kombe la Dunia. Chama cha Soka cha Ivory Coast tayari kimesema walifanya mazungumzo na kocha huyo wa zamani wa England kwa...

Read More...
Pienaar afungiwa kuendesha gari

Steven Pienaar wa Everton amefungiwa kuendesha gari kwa kipindi cha muda wa miezi 12 baada ya kukiri aliendesha gari akiwa amekunywa pombe. Kiungo huyo wa Everton alitolewa ndani ya gari na polisi wa Merseyside alfajiri ya tarehe 21 mwezi...

Read More...
Twiga yaikung'uta Ethiopia 3-1

Timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars imeifunga timu ya taifa ya Ethiopia kwa mabao matatu kwa moja. Mchezo huo umefanyika mjini Addis Ababa. Mwenyekiti wa chama cha soka cha wanawake nchini Tanzania, Lina Mhando amekiambia kipindi cha Michezo...

Read More...

Maoni tuliyopokea punde

Habari Motomoto

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20

Who's Online

We have 131 guests online

Login Form